OKRAH KUONDOKA SIMBA (HUHESO Digital Blog 21:31 0 WINGA Mghana, Augustine Okrah amekuwa mchezaji wa kwanza kuruhusiwa kuondoka Simba wakati msimu unaelekea ukingoni. Taarifa ya Simba SC imes... Read more »
MOROCCO WASUSIA MICHUANO YA CHAN INAYOANZA KUTIMUA VUMBI KESHO IJUMAA WAJIONDOA KISA NDEGE (HUHESO Digital Blog 18:20 0 Morocco imejiondoa katika kutetea taji lao la Ubingwa wa Mataifa ya Afrika (CHAN) mwezi huu baada ya kukataliwa kusafiri moja kwa moja hadi ... Read more »
WATANZANIA KUSHINDA ZAWADI NONO KOMBE LA DUNIA (HUHESO Digital Blog 00:34 0 Macho ya ulimwengu mzima yamegeukia huko nchini Qatar kushuhudia mataifa 32 yakichuana kuwania Kombe la Dunia. Raia kutoka nchi washiriki na... Read more »
SIMBA NGOMA NZITO WALAZIMISHWA SARE NA MBEYA CITY (HUHESO Digital Blog 18:07 0 KLABU ya Simba imelazimishwa sare ya mabao 1-1 dhidi ya timu ya Mbeya City, mchezo ambao ulipigwa kwenye dimba la Sokoine Mbeya. NA EMMANUE... Read more »
DEJAN GEORGIJEVIC AONDOKA SIMBA (HUHESO Digital Blog 17:46 0 Mshambuliaji wa Simba Mserbia Dejan Georgijević ametangaza kuachana na klabu hiyo kwa kile alichokiandika kwamba Simba wameshindwa kutimiza ... Read more »
SIMBA YACHAPWA NA ARTA SOLAR UWANJA WA UHURU (HUHESO Digital Blog 16:37 0 LICHA ya Kumiliki Mpira kwa asilimia 61 Timu ya Simba imepokea kichapo cha bao 1-0 kutoka kwa wageni Arta Solar kutoka nchini Djibouti mchez... Read more »
HASIRA ZA SIMBA ZAISHIA KWA GEITA GOLD (HUHESO Digital Blog 06:11 0 KLABU ya Simba imeanza vizuri kwenye ligi ya NBC mara baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya timu ya Geita Gold, mchezo ambao uli... Read more »
MUDA HAUJAFIKA KUWASEMA VIBAYA KOCHA MAKI NA MSHAMBULIAJI DEJAN WA SIMBA (HUHESO Digital Blog 10:57 1 NI vigumu sana kwangu kuamini kwamba Simba wanaweza kuwa wamekosea sana kumpeleka kwao kocha Maki baada ya mchakato wa nguvu wa kumpata. ANA... Read more »
MAYELE ALETA KILIO SIMBA, YANGA MABINGWA NGAO YA JAMII 2022/23 (HUHESO Digital Blog 21:57 0 Klabu ya Young Africans imefanikiwa kutwaa kombe la Ngao ya Jamii dhidi ya klabu ya Simba Sports Club kwa mwaka wa msimu 2022/2023. Na Sai... Read more »
MANARA NA RAIS WAKE HERSI WA YANGA WAFUNGULIWA MASHTAKA NA TFF (HUHESO Digital Blog 03:35 0 Sekretarieti ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) imewafungulia mashtaka ya kimaadili Rais wa klabu ya Young Africans Sports Clu... Read more »
KARIM MANDONGA APIGWA TENA BILA HURUMA ULINGONI - SONGEA (HUHESO Digital Blog 23:31 0 Bondia maarufu kwa jina la Karim Mandonga amepigwa tena na mpinzania wake Shabani katika pambano la masumbwi lililopigwa usiku huu mkoani Ru... Read more »
SENZO AIAGA RASMI YANGA WAKILI SIMON PATRICK MTENDAJI MKUU WA MPITO (HUHESO Digital Blog 23:08 0 Senzo aiaga rasmi yanga na Wakili simoni Patrick kuwa afisa Mtendaji mkuu wa Mpito Read more »
MCHEZAJI WA SIMBA SAKHO AONDOKA NA TUZO YA GOLI BORA LA MWAKA LA CAF (HUHESO Digital Blog 14:26 0 Mchezaji wa timu ya Simba Msenegal Pape Othman Sakho akiwa katika picha ya pamoja na mkongwe wa soka la Afrika J. J. Okocha huku akiwa amesh... Read more »
KONGOLE YANGA, SHIKAMOO MPOLE… (HUHESO Digital Blog 20:27 0 TIMU ya soka ya Yanga imeingia katika orodha ya Klabu zilizotwaa Ubingwa nchini pasipo kupoteza mchezo hata mmoja. Huku mshambuliaji mza... Read more »
NYOTA WATANO WA KIKOSI CHA SIMBA WAACHWA (HUHESO Digital Blog 02:59 0 Nyota watano wa kikosi cha Simba wameachwa Dar es salaam kwa ajili ya kuweza kutimiza majukumu yao kwenye timu ya taifa ya Tanzania, Taifa S... Read more »
KAMBI YA SIMBA SC MISRI (HUHESO Digital Blog 02:54 0 Kikosi cha Simba kimefika salama nchini Misri baada ya safari yao kuanza jana Julai 14,2022 huku wakionyesha hoteli ambayo wamefikia kwaajil... Read more »
WATU WA YANGA NA WA SIMBA WANAVYOHAMASISHA TIMU PINZANI ZAO ZA SIMBA NA YANGA! (HUHESO Digital Blog 18:44 0 MASHABIKI na baadhi ya viongozi wa timu pinzani hutoa kauli kali kuponda mpango fulani wa timu pinzani kama kukosa ubora kwa mchezaji aliy... Read more »
SHEREHE ZA TUZO ZA TFF KWA MSIMU WA 2021/2022 KUFANYIKA 07 JULAI 2022 (HUHESO Digital Blog 17:55 0 Shirikisho la Mpira wa Miguu TFF linatarajia kufanya sherehe za utoaji wa tuzo kwa msimu wa 2021/2022 ambazo zitafanyika katika ukumbi wa Ro... Read more »
BREAKINGNEWS: NI GEORGE MPOLE MFUNGAJI BORA NBC PREMIER LEAGUE 2021/2022 (HUHESO Digital Blog 17:54 0 Mshambuliaji wa Klabu ya Geita Gold ya mkoani Geita George Mpole inayoshiriki ligi kuu Tanzania bara ameibuka mfungaji bora wa ligi kuu (NBC... Read more »
FIFA YAIPIGA STOP BIASHARA UNITED KUFANYA USAJILI (HUHESO Digital Blog 00:11 0 Kamati ya nidhamu ya Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA) imeifungia klabu ya ligi kuu Tanzania NBC Biashara United ya Mara ku... Read more »