ZIARA YA RAIS WA TAASISI YA DIASPORA KUFUNGUA MILANGO YA UTALII MAKUMBUSHO YA TAIFA LA TANZANIA NKUMBI 18:37 0 Makumbusho ya Taifa la Tanzania imepokea ugeni mzito kutoka Taasisi ya Maendeleo ya Diaspora wa Kiafrika (ADDI) ukiongozwa na Mwanzilishi na... Read more »
SERIKALI YATOA ONYO DHIDI YA UDHALILISHAJI MTANDAONI NKUMBI 18:33 0 Serikali imeitaka jamii kutokubali vitendo vya udhalilishaji mitandaoni vionekane kuwa jambo la kawaida, huku ikionya kuwa tabia hiyo inaw... Read more »
WAZIRI KIKWETE: SOMALIA IMEKUJA KUJIFUNZA MAFANIKIO YA MATUMIZI YA MIFUMO YA KIDIJITARI KATIKA UTUMISHI WA UMMA NCHINI TANZANIA NKUMBI 18:25 0 Na Lusungu Helela, Dodoma Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhwani Kikwete, amesema... Read more »
RAIS SAMIA AFANYA UTEUZI NA UHAMISHO WA WAKUU WA MIKOA NA MAKATIBU TAWALA NKUMBI 18:21 0 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amefanya uteuzi na uhamisho wa Wakuu wa Mkoa na Makatibu Tawala wa... Read more »
NCHIMBI AFUKUZWA CCM, NDEJEMBI ATEULIWA KUMRITHI NKUMBI 23:33 0 Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) imemvua uanachama aliyekuwa Makamu wa Rais wa Tanzania, Dkt. Emmanuel Nchimbi, hatua iliyochuku... Read more »
MAHONA CUP 2026 YAANZA LEO, ZAWADI ZAPANDA HADI MILIONI 5 NKUMBI 23:15 0 Mkurugenzi wa 'MAHONA CUP – 12', Patrick Mahona, akizungumza wakati wa ufunguzi wa MAHONA CUP - 12' uliofanyika katika uwanja ... Read more »
WAZIRI MKUU AWATAKA WATANZANIA KUIMARISHA MALEZI, KULINDA AMANI NA KUTIMIZA WAJIBU NKUMBI 22:33 0 Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, amewataka Watanzania kuendelea kuimarisha malezi ya watoto na vijana, kulinda amani, kuheshimu tofauti ... Read more »
KUPATA MAJIBU YA MAMBO MATANO SIKU 150 ZA JAJI LILA KUPATA MAJIBU YA MAMBO MATANO NKUMBI 22:21 0 Tume ya Kuchunguza Wahusika na Ukiukwaji wa Sheria wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025 imeagizwa kuchunguza mambo matano. Mwenye... Read more »
RAIS SAMIA AKUBALI KUJIUZULU KWA MAKAMU WA RAIS DK. NCHIMBI, TARATIBU ZA MRITHI KUCHUKULIWA NKUMBI 21:13 0 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, amepokea na kuridhia barua ya ombi la kujiuzulu kutoka kwa M... Read more »
Siku 150 za Jaji Lila kupata majibu ya mambo matano NKUMBI 19:09 0 TUME ya Kuchunguza Wahusika na Ukiukwaji wa Sheria wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025 imeagizwa kuchunguza mambo matano. Mwenye... Read more »
Tanzania yatamba Miaka 2 kutumika kusajili 100% mpango wa bima ya afya kwa wote NKUMBI 19:06 0 Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khams Mussa Omar, amesisitiza kuwa katika kipindi cha miaka miwili ijayo asilimia 100 ya kaya zitakuwa zimesaji... Read more »
Serikali Yazindua Programu ya InnoIP Tanzania Kulinda na Kuendeleza Rasilimali za Kiakili NKUMBI 19:02 0 SERIKALI imechukua hatua kulinda na kuendeleza rasilimali za kiakili nchini kutokana na uzinduzi rasmi wa Programu ya InnoIP Tanzania, mkaka... Read more »
BILIONI 1 YATENGWA KUANZA UJENZI WA KITUO CHA URITHI WA UKOMBOZI AFRIKA NKUMBI 15:43 0 Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo na Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa amesema serikali imeanza maandalizi ... Read more »
FITCH YATOA B CHANYA, YATANGAZA UCHUMI WA TANZANIA KUENDELEA KUIMARIKA NKUMBI 15:41 0 Kampuni ya kimataifa ya Fitch Rating inayojihusisha kufanya tathmini ya uwezo wa nchi kukopesheka katika masoko ya fedha ya kimataifa imetoa... Read more »