BALOZI OMAR ASISITIZA USHIRIKIANO KUCHOCHEA MAPINDUZI YA KILIMO, MIFUGO NA UVUVI NKUMBI 21:57 0 Serikali imesisitiza umuhimu wa kuimarisha ushirikiano thabiti kati ya sekta mbalimbali ili kuongeza tija na kasi ya maendeleo katika sekta ... Read more »
SERIKALI YAIWEKEA NGUVU SEKTA YA USALAMA, YAZINDUA MIRADI YA BILIONI 2.8 SONGWE NKUMBI 21:51 0 Serikali imeeleza kuwa Rais Samia Suluhu Hassan ameendelea kuimarisha vyombo vya ulinzi na usalama nchini kupitia utekelezaji wa maboresho... Read more »
SHEREHE ZA MAENDELEO NA UTU: JINSI MRADI WA EACOP UNAVYOBADILI MAISHA YA WANANCHI KUPITIA FIDIA NKUMBI 21:46 0 Utekelezaji wa miradi mikubwa ya kimkakati ya maendeleo hapa nchini unaendelea kuacha alama chanya na ya kudumu kwa wananchi mmoja mmoja, ... Read more »
RAIS SAMIA ATOA WITO KWA BARA LA AFRIKA KUJITEGEMEA KATIKA MASUALA YA AFYA NKUMBI 23:32 0 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan,ametoa wito kwa mataifa ya Afrika kuwekeza katika huduma za afy... Read more »
ULINZI WA BAHARI SASA USIPIME NKUMBI 23:24 0 Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu, Profesa Palamagamba Kabudi amesema Sh bilioni 5.8 zimetumika ku... Read more »
IGP WAMBURA AWATAKA ASKARI KUZINGATIA UTU NA WELEDI NKUMBI 23:21 0 Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP), Camillus Wambura amewataka askari polisi kuhakikisha huduma wanazotoa kwa wananchi zinazingatia utu, h... Read more »
DKT. MWIGULU AELEZEA UTOSHELEVU WA CHAKULA NA HAJA YA UBORA WA BIDHAA NKUMBI 23:17 0 Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba ameeleza kuwa nchi ina utoshelevu wa chakula kwa asilimia 130 na imeongeza mauzo nje ya nchi kwa asilimia 7... Read more »
MAONO YA RAIS SAMIA KUFANIKISHA MARIDHIANO, KATIBA NKUMBI 12:36 0 Tanzania imebarikiwa kuwa na kiongozi wa kipekee, Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, mwanamke mwenye moyo wa taifa, mwenye maono ya mbali, na ... Read more »
AFISA MTENDAJI MKUU WA WMA AZUNGUMZA NA WATUMISHI ARUSHA, ASISITIZA UTOAJI HUDUMA BORA NKUMBI 12:25 0 Afisa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Vipimo (WMA), Bw. Alban Mark Kihulla amewatembelea na kuzungumza na watumishi wa Wakala huo Mkoa wa Arush... Read more »
DIWANI MHONGOLO: MCHAKATO WA UPATIKANAJI WA EKARI 10 ZA MAKABURI WAENDELEA, MHONGOLO YAPATA KIBALI CHA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI NKUMBI 11:03 0 Diwani wa Kata ya Mhongolo katika Manispaa ya Kahama, Mariam Galula, akizungumza na wananchi wa mtaa wa Mbulu kata ya Mhongolo juu ya upatik... Read more »
DC NKINDA AITISHA WADAU WA MADINI KAHAMA, AAGIZA HATUA KALI KUDHIBITI UTOROSHAJI WA DHAHABU NKUMBI 10:03 0 Mkuu wa Wilaya ya Kahama, Frank Nkinda, akizungumza na wadau wa sekta ya madini wilayani humo a kiagiza utekelezaji wa hatua za haraka za ... Read more »