Post Top Ad
Wednesday, 26 August 2026
Tuesday, 25 August 2026
RAIS SAMIA AKUBALI KUJIUZULU KWA MAKAMU WA RAIS DK. NCHIMBI, TARATIBU ZA MRITHI KUCHUKULIWA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, amepokea na kuridhia barua ya ombi la kujiuzulu kutoka kwa M...
Siku 150 za Jaji Lila kupata majibu ya mambo matano
TUME ya Kuchunguza Wahusika na Ukiukwaji wa Sheria wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025 imeagizwa kuchunguza mambo matano. Mwenye...
Tanzania yatamba Miaka 2 kutumika kusajili 100% mpango wa bima ya afya kwa wote
Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khams Mussa Omar, amesisitiza kuwa katika kipindi cha miaka miwili ijayo asilimia 100 ya kaya zitakuwa zimesaji...
Serikali Yazindua Programu ya InnoIP Tanzania Kulinda na Kuendeleza Rasilimali za Kiakili
SERIKALI imechukua hatua kulinda na kuendeleza rasilimali za kiakili nchini kutokana na uzinduzi rasmi wa Programu ya InnoIP Tanzania, mkaka...
Monday, 24 August 2026
BILIONI 1 YATENGWA KUANZA UJENZI WA KITUO CHA URITHI WA UKOMBOZI AFRIKA
Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo na Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa amesema serikali imeanza maandalizi ...
FITCH YATOA B CHANYA, YATANGAZA UCHUMI WA TANZANIA KUENDELEA KUIMARIKA
Kampuni ya kimataifa ya Fitch Rating inayojihusisha kufanya tathmini ya uwezo wa nchi kukopesheka katika masoko ya fedha ya kimataifa imetoa...
Watanzania wahimizwa kuendelea kulinda amani
Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba ametoa mwito kwa Watanzania waendelee kulinda amani ili nchi iendelee kutekeleza mipango ya maendeleo. Dk Nc...
MSIGWA:Tumevunja rekodi bandari kuhudumia makasha
SERIKALI imesema Bandari ya Dar es Salaam imevunja rekodi ya kiwango cha kuhudumia makasha. Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sa...
Sunday, 23 August 2026
MWENGE WA UHURU WAWEKA JIWE LA MSINGI WODI YA WAZAZI NA UPASUAJI KAKOLA
Na Neema Nkumbi, Msalala KIONGOZI wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa mwaka 2026, Wazo Michael Mwang’onda, ameweka jiwe la msingi katika je...
MWENGE WAPONGEZA MRADI WA UFUGAJI NYUKI, KIKUNDI CHA TWIKONDELE YAFIKISHA MIZINGA 117 YA KISASA
Na Neema Nkumbi, KAHAMA Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa mwaka 2026, Wazo Michael Mwang’onda, ametoa pongezi kwa Kikundi cha Uf...
Kauli ya Freeman Mbowe kwenye uzinduzi wa Bwawa la Mwalimu Nyerere
MWANASIASA mstaafu na mwekezaji nchini, Freeman Mbowe ameipongeza serikali kwa kukamilisha Kituo cha Kuzalisha Umeme cha Julius Nyerere (JNH...
Askofu Keshomshahara awataka vijana kukabili changamoto za maisha
ASKOFU wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Kaskazini Magharibi, Dk Abednego Keshomshahara amewataka vijana kuam...
WASIRA: CCM ITAHAKIKISHA UCHUMI WA TANZANIA UNAENDELEA KUWA IMARA
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira, amesema CCM inalenga kuhakikisha uchumi wa Tanzania unakua kwa...
Saturday, 22 August 2026
MWENGE WA UHURU WAHAMASISHA MATUMIZI YA NISHATI SAFI USHETU, MITUNGI 50 YA GESI YAGAWIWA
Na Neema Nkumbi, Ushetu Mwenge wa Uhuru umeendelea kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia katika Halmashauri ya Ushetu, Wilaya ya K...
Post Top Ad
Author Details
Ut wisi enim ad minim veniam, quis nostrud exerci tation ullamcorper suscipit lobortis nisl ut aliquip ex ea commodo consequat. Duis autem vel eum iriure dolor in hendrerit in vulputate velit esse molestie consequat.