VITA DHIDI YA UCHOCHEZI MITANDAONI: VIJANA SASA WAJITAMBUA, WAHIMIZA AMANI NA MALEZI BORA NKUMBI 20:41 0 Wakati ulimwengu wa kidijitali ukikabiliwa na changamoto ya kuongezeka kwa jumbe za uchochezi, vijana na wadau wa maendeleo nchini Tanzania ... Read more »
NGORONGORO KUFANYIWA 'UPASUAJI' WA KITAALAMU NKUMBI 20:39 0 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesisitiza kuwa Serikali yake itaendelea kufanya maamuzi yenye tija... Read more »
TANZANIA NA MAREKANI WAHITIMISHA ZOEZI LA KIVITA 'JUSTIFIED ACCORD 2026' NKUMBI 18:31 0 Zoezi la pamoja la medani la 'Justified Accord 2026', lililohusisha Kikosi Maalum cha Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ)... Read more »
MAPINDUZI YA TIBA: TANZANIA SASA KITOVU CHA UTALII WA TIBA AFRIKA MASHARIKI NKUMBI 18:29 0 Serikali ya Tanzania imepiga hatua nyingine ya kihistoria katika sekta ya afya baada ya kununua kinu cha nyuklia kwa ajili ya mashine ya PET... Read more »
AMANI YAFUNGUA MILANGO: TANZANIA NA DRC KUFANYA BIASHARA KUBWA YA MAHINDI NKUMBI 18:27 0 Wakati amani na utulivu vikiendelea kushika kasi katika ukanda wa Afrika Mashariki na Kati, Serikali ya Tanzania na Jamhuri ya Kidemokrasia ... Read more »
NI USHINDI UNAOBEBWA NA TAKWIMU KATIKA UWEKEZAJI WA MADINI, 'WAKLOROFOMU' MITANDAONI HOI NKUMBI 12:43 0 Katika kipindi ambacho baadhi ya vikundi vya 'waklorofomu' vimekuwa vikijitahidi kuamsha hisia hasi ili kuijengea Serikali picha ya ... Read more »
RAIS SAMIA AWAPASHA WAZANDIKI: AMANI YA TANZANIA NI MSINGI USIOTIKISIKA NKUMBI 12:36 0 Rais Samia Suluhu Hassan ametoa onyo kali kwa watu wasioitakia mema nchi na wanaojaribu kuchezea amani ya nchi, akisisitiza kuwa Tanzania it... Read more »
UBUNIFU WA VETA KIHONDA: VIJANA WANAOTUMIA TEKNOLOJIA KUKWAMUA JAMII BADALA YA TAHARUKI NKUMBI 12:24 0 Katika ulimwengu wa sasa ambapo mitandao ya kijamii imekuwa uwanja wa malumbano na wakati mwingine matusi dhidi ya juhudi za maendeleo, kund... Read more »
SERIKALI YAFAGIA NJIA YA DIRA 2050 KWA KIPIMO KIPYA CHA UONGOZI NKUMBI 12:20 0 Siku ya Jumatano, Machi 11, 2026, imeweka alama ya mabadiliko makubwa katika mfumo wa utendaji wa Serikali ya Awamu ya Sita. Badala ya taari... Read more »
MAFUNZO YA UKUZAJI UJUZI YALIVYOMNUFAISHA MSOMI SHAMBANI IKUNGI NKUMBI 12:11 0 Licha ya kuwa na shahada mkononi, Eliya Memba, mwalimu kitaaluma, alikataa kukaa na kusubiri ajira za ofisini ambazo zimekuwa adimu katika s... Read more »
IFTARI YA MAJALIWA YAIPIGIA SALUTI SERIKALI YA RAIS SAMIA NKUMBI 12:04 0 Katika dhihirisho la hali ya juu la umoja na mshikamano wa kitaifa, Waziri Mkuu Mstaafu, Kassim Majaliwa, ameungana na Watanzania kuipa ... Read more »
JIBU KWA WACHOCHEZI: TANZANIA NA MAREKANI ZAIMARISHA USHIRIKA WA AMANI NA USALAMA NKUMBI 12:12 0 Wakati kukiwa na sauti chache za kichochezi zinazojaribu kupotosha ukweli kuhusu mahusiano ya kimataifa, ushirikiano wa kihistoria kati ya T... Read more »
KUTOKA SHAHADA HADI JALAMBANI: MSOMI WA MZUMBE AFUNGUA NJIA YA AJIRA KUPITIA VETA NKUMBI 12:10 0 Zama za wahitimu wa vyuo vikuu kusubiri ajira za ofisini kwa kutegemea "vyeti vya makaratasi" pekee zinaonekana kufika kikomo, baa... Read more »
SIASA ZA CHUKI NI USHAMBA, TUZIKANE KWA UTANZANIA WETU NKUMBI 12:07 0 Katika kile kinachoonekana ni muendelezo wa kuhubiri siasa za kistaarabu na maridhiano nchini, Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimekemea vikali ... Read more »