TFF KUJENGA KITUO CHA KUKUZA VIPAJI KAHAMA NKUMBI 20:16 0 Na Neema Nkumbi, Kahama Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Wallace Karia, amesema shirikisho hilo linatarajia kujenga kitu... Read more »
UWEKEZAJI WA BILIONI 700 KILOMBERO NI ZAIDI YA UZALISHAJI SUKARI NI MAPINDUZI YA TEKNOLOJIA NKUMBI 16:31 0 Uwekezaji wa kihistoria wa Shilingi bilioni 700 katika upanuzi wa kiwanda cha Kilombero Sugar siyo tu habari ya takwimu za serikali, bali ni... Read more »
MAONO YA SAMIA YAZAA MATUNDA: GAWIO KWA SERIKALI LAPANDA KWA 357%, AJIRA ZA VIJANA ZAPEWA MSTARI WA MBELE NKUMBI 16:27 0 OFISI ya Msajili wa Hazina imetoa takwimu zinazoashiria mapinduzi makubwa ya kiuchumi nchini Tanzania, ikibainisha kuwa kampuni ambazo ser... Read more »
MKWASA AFUNDA SKAUTI UKOMBOZI WA UCHUMI KWA VIJANA NKUMBI 16:19 0 MJUMBE wa Bodi ya Chama cha Skauti Tanzania, Betty Mkwasa, amewahimiza vijana wa skauti nchini kote kutumia mafunzo ya uongozi wanayopata ku... Read more »
ULEGA APELEKA USHAWISHI KWA WAHANDISI VIJANA KUTATUA KERO ZA TAIFA NKUMBI 16:17 0 WAZIRI wa Ujenzi, Abdallah Ulega, amewataka wahandisi nchini kuacha mazoea ya kuandika maandishi mengi yasiyo na tija na badala yake wajik... Read more »
WANANCHI PERAMIHO, SHIWINGA KUPIGA KURA KESHO KUCHAGUA MBUNGE, DIWANI NKUMBI 14:23 0 Na Mwandishi wetu, Ruvuma Wapiga Kura 127,632 walioandikishwa katika Daftari la Kudumu la Wapiga Kura watashiriki katika uchaguzi wa kucha... Read more »
UJENZI WA TAASISI IMARA KWA RASLIMALI ZA NDANI JIBU KELELE ZA MTANDAONI NKUMBI 09:36 0 Wakati kelele na upotoshaji wa "watu wa hovyo" mitaandaoni ukijaribu kufifisha juhudi za maendeleo, Tanzania inazidi kupiga hatua ... Read more »
JINSI MAGANDA YA KOROSHO YANAVYOFUNGUA MILANGO YA AJIRA KWA VIJANA NKUMBI 12:25 0 Tanzania inashika nafasi ya pili barani Afrika kwa kuwa na idadi kubwa ya mifugo, ikiwa na zaidi ya ng’ombe milioni 39, jambo linaloifanya ... Read more »
HAKUNA KUPIGA MZINGA NI MDOGOMDOGO MPAKA KINAELEWEKA NKUMBI 12:10 0 Serikali ya Awamu ya Sita, chini ya uongozi mahiri wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, imezidi kudhihirisha kuwa "haipigi mizinga"... Read more »
RAIS SAMIA ANAPOJENGA UCHUMI SHIRIKISHI NA KUIMARISHA UTU NKUMBI 12:02 0 Tanzania imeingia katika zama mpya ambapo tafiti za kisayansi sasa zinageuzwa kuwa fursa za ajira na suluhisho la kudumu la mazingira. Ugu... Read more »
SERIKALI INAPOWAENZI WAZEE KAMA JUKWAA LA HEKIMA KWA VIZAZI VYA SASA NKUMBI 11:52 0 Katika hatua ya kuimarisha tunu za taifa na kulinda misingi ya maadili, Serikali imetangaza mkakati mpya wa kuboresha ustawi wa wazee nchi... Read more »
MAPINDUZI YA SEKTA YA SUKARI: NEEMA KWA VIJANA, AJIRA NA USALAMA WA FEDHA ZA KIGENI NKUMBI 11:48 0 Serikali imebainisha kuwa mkakati wa kuongeza uwekezaji wa ndani na nje (FDI) katika sekta ya sukari mkoani Morogoro si tu suluhisho la uh... Read more »