KIPINDUPINDU CHAUWA WANNE (HUHESO Digital Blog 09:07 0 WATU wanne wamefariki kutokana na ugonjwa wa kipindupindu katika kijiji cha Buchurago kata ya Bugorora wilayani Missenyi mkoani Kagera huku ... Read more »
BREAKING; WAZIRI MKUU MSTAAFU AFARIKI (HUHESO Digital Blog 12:20 0 WAZIRI Mkuu wa zamani wa Rwanda na mkosoaji mkubwa wa serikali ya Rais Paul Kagame amefariki akiwa uhamishoni nchini Ubelgiji. Ndugu walithi... Read more »
SHEREHE ZA UHURU KUADHIMISHWA KIMIKOA (HUHESO Digital Blog 12:05 0 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akionesha Tuzo ya kutambua mchango wa Rais Dkt.. Samia Suluhu Hassan katika ujenzi wa shukle maalum za wasichan... Read more »
LORI LA KEMIKALI LAUA DEREVA NA KODAKTA KWA KUTUMBUKIA MTONI (HUHESO Digital Blog 11:12 0 Watu wawili wanahofiwa kufariki dunia baada ya lori walilokuwemo kupoteza mwelekeo na kuingia mtoni kisha kulipuka katika eneo la makutano y... Read more »
VIFO VYAONGEZEKA MKOANI MANYARA KUTOKANA NA MAFURIKO (HUHESO Digital Blog 11:05 0 Wakati vifo vilivyosababishwa na maporomoko ya matope vikiongezeka na kufikia 49 wilayani Hnang’, askari 350 wa Jeshi la Wananchi wa Tanzani... Read more »
AFISAELIMU KATA YA KANYIGO WILAYANI MISSENYI, AWAHIMIZA JAMII KUSAIDIA ELIMU,AWAFAGILIA UMOJA WA HISA ENDELEVU (HUHESO Digital Blog 19:57 0 Afisaelimu wa Kata ya Kanyigo, wilayani Missenyi, Muchunguzi Ishabairu, amewahimiza wanajamii ambao wamejaliwa kuwa na uwezo wa hali na mali... Read more »
BASI LA KAMPUNI YA ALLY'S LAGONGA TRENI YAUA WATU 13 NA 25 WAJERUHIWA (HUHESO Digital Blog 15:14 0 Watu 13 wamefariki dunia na 25 kujeruhiwa katika ajali ya Basi la Ally's lenye namba za usajili T.178 DVB lililokuwa likitokea Jijini Da... Read more »
PROF. NOMBO AWATAKA WATAFITI KUTATUA CHANGAMOTO ZA JAMII (HUHESO Digital Blog 12:21 0 Katibu Mkuu, Wizara ya Elimu Sayansi na Teknolojia Prof. Carolyne Nombo amewataka watafiti na wanavyuo nchini kutambua kuwa wanawajibu wa ku... Read more »
Breaking News : PAUL MAKONDA KATIBU MPYA WA NEC, ITIKADI NA UENEZI CCM (HUHESO Digital Blog 14:39 0 Halmashauri Kuu ya CCM Taifa imemteua Paul Makonda kuwa Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM akichukua nafasi ya Sophia Mjema aliyeteuliwa ... Read more »
SOPHIA MJEMA ATEULIWA NA RAIS SAMIA KUWA MSHAURI WAKE AONDOLEWA CCM (HUHESO Digital Blog 10:31 0 Sophia Mjema aliekuwa Katibu wa NEC, Itikadi na uenezi wa CCM Rais Samia Suluhu Hassan leo Jumapili Oktoba 22, 2023 amemteua Sophia Mjema ku... Read more »
SHUGHULI ZA UCHIMBAJI MADINI ZATAJWA KUKATISHA MATUMIZI YA ARVs-KAHAMA (HUHESO Digital Blog 13:49 0 Imeelezwa kuwa shughuli za uchimbaji madini ya dhahabu katika migodi midogo wilayani Kahama mkoani Shinyanga zinakwamisha juhudi za ufuatili... Read more »
MWENYEKITI KAMATI YA BUNGE ANG'AKA ASILIMIA 10 YA MAKUNDI MAALUM KUTOWAWEZESHA WASICHANA BALEHE AAGIZA KUPEWA HARAKA (HUHESO Digital Blog 18:08 0 Kamati ya Bunge ya maendeleo ya Jamii, Jinsia, wanawake, Watoto na makundi maalum imeiagiza halmashauri ya Manispaa ya Kahama mkoani Shinyan... Read more »
WENYE UHITAJI MAALUM KUNUFAIKA NA SERIKALI MTANDAO (HUHESO Digital Blog 16:41 0 Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA), imeahidi kuendelea kubuni na kuboresha mifumo mbalimbali ya TEHAMA, ili kurahisisha upatikanaji wa hudu... Read more »
WANANCHI WASHAURIWA KUJENGA UTAMADUNI WA KUPIMA AFYA ZAO KABLA YA KUINGIA KWENYE NDOA, KUEPUKA KUZAA WATOTO WENYE UGONJWA WA SELI MUNDU (HUHESO Digital Blog 16:35 0 UGONJWA wa selimundu (Sickle Cell Desease) kwa watoto wachanga, unaweza kupunguzwa au kukatwa mnyororo wa thamani endapo wanaotarajiwa kuing... Read more »
WAKULIMA WA VANILLA KATA RUZINGA,WILAYA YA MISSENYI,WAMUOMBA WAZIRI WA KILIMO KUSAIDIA MTAJI NA KUTAFUTA MASOKO (HUHESO Digital Blog 11:11 0 Bibi Beatrice Edward wa kijiji cha Mugongo, kata ya Ruzinga akihudumia shamba lake MUTAYOBA ARBOGAST, HUHESO DIGITAL, BUKOBA WAKULIMA wa z... Read more »
KALIYANGO WA WILAYANI KAHAMA AHUKUMIWA MAISHA JELA KWA KOSA LA KUMNAJISI MTOTO (HUHESO Digital Blog 17:35 0 MAHAKAMA ya Wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga imemuhukumu mkazi wa kijiji cha Chapulwa kata ya Mwendakulima Kaliyango Maganga (55) kifungo c... Read more »
SABA WAHOJIWA UDANGANYIFU WA MTIHANI DARASA LA SABA-MWANZA (HUHESO Digital Blog 17:07 0 Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza limewahoji watu saba kwa tuhuma za kosa la udanganyifu wa mitihani ya darasa la saba kwa kuwachukua wanafunz... Read more »
SHEHENA YA VYUMA CHAKAVU,TAKA HATARISHI MARUFUKU KUINGIZWA NCHINI BILA KIBALI CHA MAZINGIRA (HUHESO Digital Blog 17:01 0 Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt. Selemani Jafo,akitoa taarifa kwa waandishi wa habari leo Septemba ... Read more »
MOI YAPOKEA VIFAA TIBA VYENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 3 KUTOKA UINGEREZA (HUHESO Digital Blog 16:56 0 Na Mwandishi Wetu – MOI Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya Dkt. John Jingu kwa niaba ya Waziri wa Wizara hiyo Mhe. Ummy Mwalimu amepokea msaada w... Read more »