MUFTI ZUBEIR AFUNGUKA KUTOKA MAKKA, AELEZA HAJA YA KULIOMBEA TAIFA NKUMBI 18:49 0 Shehe Mkuu wa Tanzania, Mufti Abubakar Zubeir, ametoa mwito mzito kwa mahujaji wote wa Kitanzania waliopo nchini Saudi Arabia, akiwataka kut... Read more »
KAULI YA DANGOTE INAKUMBUSHA WATANZANIA KUIUNGA MKONO SERIKALI KATIKA KULINDA AMANI NKUMBI 18:45 0 Tahariri ya gazeti la HabariLeo inaitazama ziara ya hivi karibuni ya mfanyabiashara bilionea namba moja barani Afrika, Aliko Dangote, nchini... Read more »
SAUTI YA MPAKA WA KASENYE: AMANI INAVY9FUNGUA MILANGO YA BIASHARA YA SAMAKI KATI YA TANZANIA NA UGANDA NKUMBI 18:43 0 Katika upepo mwanana unaovuma kwenye kijiji cha mpakani cha Kashenye mkoani Kagera, ushuhuda wa maisha ya Adivela Kitende unadhihirisha kwa ... Read more »
SAUTI ZA KIROHO NA KISIASA KUHUSU MARIDHIANO KATIKA KUPONYA TAIFA NKUMBI 22:21 0 Viongozi wa dini nchini wameshauri mchakato wa kupata maridhiano ya kitaifa uwe shirikishi na uepuke maslahi binafsi ili kuliponya taifa kwa... Read more »
WAZIRI NANAUKA AWAONYA VIJANA DHIDI YA SIASA ZA CHUKI NKUMBI 22:18 0 Amani ndiyo msingi wa utekelezaji wa Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 na bila utulivu hakuna maendeleo yatakayodumu hapa nchini. Kauli hiyo ... Read more »
RC DAR AONYA UKUMBATIAJI WA PROPAGANDA ZA CHUKI NKUMBI 22:14 0 Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, amewataka vijana kuachana kabisa na propaganda za chuki na badala yake waelekeze akili na ... Read more »
RAIS SAMIA AUNDA TUME YA UCHUNGUZI WA KIJINAI VURUGU UCHAGUZI MKUU 2025 KUONGOZWA NA JAJI SHABANI LILA NKUMBI 22:11 0 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameunda Tume ya Uchunguzi wa Kijinai wa Matukio ya Ghasia ya ... Read more »
WATATU ZAIDI WAPITISHWA NA TUME KUWANIA UDIWANI KATA YA BWONGERA -CHATO MKOANI GEITA NKUMBI 15:06 0 Read more »
CCM KAHAMA YASISITIZA UMUHIMU WA AMANI BAADA YA UCHAGUZI MKUU NKUMBI 23:41 0 Katibu Mwenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Kahama, Joachim Simbila, amewataka wananchi kuendelea kudumisha amani na mshikamano ba... Read more »
CHADEMA KANDA YA SERENGETI YAZINDUA MATAWI MAPYA KAHAMA, YATAKA USHIRIKIANO NA UMOJA KWA WANACHAMA NKUMBI 23:21 0 Makamu mwenyekiti wa CHADEMA Zanzibar Said Mzee (kushoto), akipandisha bendera ya chama hicho kuashiria uzinduzi rasmi wa tawi la Chama hich... Read more »
TISHIO LA VIONGOZI 'WAPOPULISTI': JINSI USHAWISHI WA KISAIKOLOJIA UNAVYOLIKAUSHA TAIFA NA JUKUMU LA VIJANA KULILINDA NKUMBI 12:07 0 Tishio la Viongozi ‘Wapopulisti’: Jinsi Ushawishi wa Kisaikolojia Unavyolikausha Taifa na Jukumu la Vijana Kulilinda Na Beda Msimbe, BSKY M... Read more »
KAMPENI YA 'NEVER AGAIN' KUSAMBAZWA NCHI NZIMA: TAHLISO KUJENGA JESHI LA KULINDA AMANI NA UTAIFA NKUMBI 11:20 0 Kampeni ya ‘Never Again’ Kusambazwa Nchi Nzima: TAHLISO Kujenga Jeshi la Kulinda Amani na Utaifa Jumuiya ya Wanafunzi wa Taasisi za Elimu ya... Read more »
CCM YAONYA SIASA ZA MAJITAKA KUVURUGA MAENDELEO YA JAMII NKUMBI 11:15 0 CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimeonya tabia ya baadhi ya wananchi kuruhusu itikadi na mipasuko ya kisiasa kuingilia au kuharibu kasi ya maendel... Read more »
DIWANI MABAO AWASHUKURU WANANCHI NGOGWA KWA KUMPA IMANI YA UONGOZI, CCM YASISITIZA AMANI NA USHIRIKIANO NKUMBI 23:38 0 Diwani wa Kata ya Ngogwa katika Manispaa ya Kahama, Abel Mabao, akiwashukuru wananchi wa kata hiyo kwa imani waliomuonesha katika uchaguzi m... Read more »
WADAU WA SIASA WATAKA MARIDHIANO KUNUSURU NCHI NKUMBI 20:18 0 Katibu Mkuu wa Chama cha Maendeleo ya Uma (Chauma) na aliyekuwa mgombea urais katika uchaguzi wa mwaka 2025, Salum Mwalimu, ametoa wito wa k... Read more »
UKOSEFU WA AJIRA KWA VIJANA ULIVYOTUMIKA KUCHOCHEA VURUGU ZA UCHAGUZI WA 2025 NKUMBI 19:31 0 Ripoti ya Tume ya Kuchunguza Matukio Wakati na Baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025 imefichua kuwa ukosefu wa ajira na ugumu wa maisha uliw... Read more »
PROFESA KABUDI AHAMASISHA UZALENDO KUPITA MAPITO KAMA TAIFA NKUMBI 19:21 0 Na Beda Msimbe, BSKY Media Tanzania imefanikiwa kujijenga kama taifa imara, lenye mshikamano na umoja thabiti katika kipindi cha miongo sita... Read more »
MUSTAKABALI WA TANZANIA: VIJANA WALILIA NAFASI ZA MAAMUZI NA ELIMU YA URAIA NKUMBI 19:16 0 Ushirikishwaji hafifu na hisia za kutosikilizwa zimetajwa kuwa miongoni mwa vichocheo vilivyowafanya baadhi ya vijana kujitenga na mifumo ha... Read more »
RC SHINYANGA AFUNGUA RASMI SHULE MPYA YA AWALI NA MSINGI TINDE B, MBUNGE AZZA HILAL AIPONGEZA SERIKALI KWA MAPINDUZI YA ELIMU ITWANGI NKUMBI 22:27 0 Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Mboni Mhita (katikati) akikata utepe kuashiria uzinduzi rasmi wa Shule mpya ya Awali na Msingi Tinde B iliyop... Read more »
UJUZI NI AJIRA : HADITHI YA MAFANIKIO YA MIAKA 98 YA UANAGENZI PERAMIHO NKUMBI 13:01 0 Na Mwandishi Maalumu Katika zama hizi za mapinduzi ya viwanda na soko shindani la ajira, Serikali ya Awamu ya Sita, chini ya uongozi wa Rais... Read more »