UZINGATIAJI WA SHERIA NDIO MSINGI WA KULINDA HAKI ZA BINADAMU NA UTULIVU NCHINI NKUMBI 23:29 0 Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora imewataka wananchi kote nchini kuendelea kuheshimu sheria za nchi kwani kufanya hivyo ndio msingi m... Read more »
TAASISI YA IMF YAIDHINISHA TRILIONI 1.2 KWA TANZANIA KUENDELEZA MAPINDUZI YA KIUCHUMI NKUMBI 17:01 0 Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) limeidhinisha kutolewa mara moja kwa takriban dola za Marekani milioni 443.9, ambazo ni sawa na zaidi ... Read more »
UBIA WA BARRICK NA TWIGA WAZIDI KUWA KIOO CHA USHIRIKIANO WA SERIKALI NA SEKTA BINAFSI TASNIA YA MADINI NKUMBI 13:40 0 Meneja Mkazi wa Barrick nchini, Dk. Melkiory Ngido, akipokea Tuzo ya Rais ya Mlipakodi Kinara kwa niaba ya Barrick Mining Corporation kuto... Read more »
VIJANA NA WAJIBU WA KULINDA AMANI KAMA MTAJI WA MAENDELEO YA TAIFA NKUMBI 22:52 0 Vijana wana jukumu kubwa la kulinda amani ya nchi, kwani wao ndio nguvu kazi ya Taifa na viongozi wa kesho. Kwa wingi wao, ubunifu wao na us... Read more »
JAB YAZINDUA RASMI MWONGOZO WA KISHERIA WA UTOAJI WA ITHIBATI YA MAISHA KWA WAANDISHI WA HABARI WAKONGWE NKUMBI 22:47 0 Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) imezindua rasmi Mwongozo wa Kisheria wa Utoaji wa Ithibati ya Maisha kwa Waandishi wa Habari W... Read more »
DIAMOND: USIMAMIZI WA SHERIA YA HUDUMA ZA HABARI UNAIMARISHA UWEKEZAJI KWENYE SEKTA YA HABARI NKUMBI 22:45 0 Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam - Mkurugenzi Mtendaji wa Wasafi Media, Nasib Abdul maarufu Diamond Platnumz, amesema utekelezaji wa Sheri... Read more »
JUKWAA LA VIONGOZI WANAWAKE WAFURAHISHWA NA MARIDHIANO NKUMBI 22:41 0 Jukwaa la Viongozi Wanawake nchini (WLF) limesema amani, umoja na maridhiano ya kisiasa ni msingi wa maendeleo ya taifa, likiwataka Watanz... Read more »
NSSF: Wananchi Waliojiajiri Jiungeni, Jiwekeeni Akiba kwa Kesho Yenye Uhakika NKUMBI 19:57 0 Dar es Salaam, Julai 10, 2026 Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) umewahimiza wananchi waliojiajiri nchini kujiunga na kuchangia kat... Read more »
MWENGE WA UHURU WATAKA WANANCHI KUIMARISHA MSINGI WA AMANI NKUMBI 23:48 0 Wananchi wa Wilaya ya Monduli mkoani Arusha wamehimizwa kusimama kidete kulinda na kudumisha amani pamoja na mshikamano wa kitaifa kwani n... Read more »
SABASABA YADHIHIRISHA WANANCHI WANAJUA MSINGI WA AMANI NCHINI NKUMBI 23:42 0 Kauli maarufu ya Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere, aliyoitoa Desemba 9, 1961 kuhusu kuwasha Mwenge wa Uhuru juu ya Mlima Kilimanjaro il... Read more »
JENERALI MKUNDA AWAAGA MAAFISA JENERALI 17 WASTAAFU WA JWTZ, AWAASA KUJIEPUSHA NA SIASA NKUMBI 23:39 0 Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi nchini (CDF), Jenerali Jacob Mkunda, amewaasa Maafisa Jenerali 17 waliostaafu wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi Tan... Read more »
RAIS SAMIA APONGEZA MARIDHIANO BAINA YA CCM NA ACT-WAZALENDO ZANZIBAR NKUMBI 23:35 0 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amekipongeza Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Chama cha ACT-Wazalendo Zanzi... Read more »
TANZANIA YAANZA SAFARI YA UCHUMI WA DOLA TRILIONI 1 IFIKAPO 2050 NKUMBI 22:01 0 New York, Marekani Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeeleza hatua zake za kuanza kutekeleza Mpango wa Nne wa Taifa wa Maendele... Read more »
MARIDHIANO YA CCM NA ACT: Rais Samia aonya wanaotaka kuleta vurugu, Usalama wa nchi hauna mjadala NKUMBI 20:40 0 Na Mwandishi Wetu ,BSKY Media Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameonya makundi yanayojificha nyuma ... Read more »
TAMASHA LA SANJO YA BUSIYA LASISITIZA AMANI NKUMBI 20:36 0 Chifu Faustine Makwaia wa tatu (aliyevaa kofia ya Kitemi) akiongoza Tamasha la Sanjo ya Busiya wilayani Kishapu. Read more »
SERIKALI YAPONGEZA WATANZANIA KUPUUZA WITO WA KUVURUGA AMANI NKUMBI 20:30 0 Serikali imewapongeza wananchi wa Tanzania kwa kuamua kupuuza na kukataa wito uliokuwa umetangazwa wa kutaka kuvuruga amani ya nchi hivi k... Read more »