WATATU WAUAWA NA ANAYESADIKIKA KUWA MGONJWA WA AKILI (HUHESO Digital Blog 12:32 0 Watu watatu wameuwawa akiwemo mama mjamzito wa miezi 7 huku mtuhumiwa akidaiwa kuwa na matatizo ya Afya ya akili ambapo tukio hilo limetokea... Read more »
CHANZO AJALI YA BAGAMOYO ILIYOUA WATU 9, DEREVA WA LORI KU-'OVERTAKE' (HUHESO Digital Blog 10:57 0 Watu tisa wamefariki katika ajali ya gari iliyotokea eneo la Kiromo Jana usiku, March 10, 2024 Wilayani Bagamoyo Mkoani Pwani baada ya Coast... Read more »
AJIFUNGUA MAPACHA WATATU AOMBA MSAADA-GEITA (HUHESO Digital Blog 14:55 0 Rebeka John (27), mkazi wa Ikurwa Wilaya ya Geita amejifungua watoto watatu njiti Machi 04, 2024 katika Kituo cha Afya Nyankumbu kilichopo M... Read more »
BINTI WA MIAKA 16 AJERUHIWA KWA RISASI MKOANI MARA (HUHESO Digital Blog 11:27 0 Neema Omari (16), mkazi wa Kijiji cha Kewanja Wilaya ya Tarime mkoani Mara amelazwa katika Hospitali ya Rufaa ya Kumbukumbu ya Mwalimu Nyere... Read more »
EDWARD LOWASA AFARIKI DUNIA RAIS SAMIA ATUMA SALAM ZA POLE (HUHESO Digital Blog 17:00 0 Waziri Mkuu mstaafu wa Tanzania Edward Lowassa (70) amefariki dunia leo Jumamosi Februari 10,2024 wakati akiendelea kupatiwa matibabu kat... Read more »
SOKO LA MBUYUNI MOSHI LATEKETEA KWA MOTO (HUHESO Digital Blog 13:07 0 Soko la Mbuyuni manispaa ya Moshi mkoani Kilimanjaro limeteketea kwa moto na kuacha wafanyabiashara zaidi ya 2500 wakiwa hawajui la ku... Read more »
MLIPUKO WA GESI UMETOKEA MJI MKUU WA KENYA NAIROBI NA KUUA WATU WATATU NA WENGINE 300 KUJERUHIWA (HUHESO Digital Blog 00:37 0 Lori lililokuwa limebeba mitungi ya gesi lililipuka katika wilaya ya Embakasi mwendo wa 23:30 (20:30 GMT), "na kuwasha moto mkubwa"... Read more »
ADAIWA KUJINYONGA BAADA YA MWENZA WAKE KUCHUKULIWA NA WAZAZI (HUHESO Digital Blog 14:10 0 Mkazi wa Mtaa wa Idundilanga, wilayani Njombe, Venance Haule (24) anadaiwa kujinyonga kwa kile kinachoelezwa mwanamke aliyekuwa akiishi naye... Read more »
LORI LA KEMIKALI LAUA DEREVA NA KODAKTA KWA KUTUMBUKIA MTONI (HUHESO Digital Blog 11:12 0 Watu wawili wanahofiwa kufariki dunia baada ya lori walilokuwemo kupoteza mwelekeo na kuingia mtoni kisha kulipuka katika eneo la makutano y... Read more »
VIFO VYAONGEZEKA MKOANI MANYARA KUTOKANA NA MAFURIKO (HUHESO Digital Blog 11:05 0 Wakati vifo vilivyosababishwa na maporomoko ya matope vikiongezeka na kufikia 49 wilayani Hnang’, askari 350 wa Jeshi la Wananchi wa Tanzani... Read more »
BASI LA KAMPUNI YA ALLY'S LAGONGA TRENI YAUA WATU 13 NA 25 WAJERUHIWA (HUHESO Digital Blog 15:14 0 Watu 13 wamefariki dunia na 25 kujeruhiwa katika ajali ya Basi la Ally's lenye namba za usajili T.178 DVB lililokuwa likitokea Jijini Da... Read more »
WATU 12 WANASHIKILIWA NA POLISI KWA KUKUTWA NA NOTI BANDIA (HUHESO Digital Blog 10:44 0 Na Kadama Malunde – Malunde 1 blog Jeshi la Polisi linawashikilia watuhumiwa 12 na wengine limewafikisha mahakamani kutokana na makosa mbali... Read more »
MWALIMU MBARONI KWA KUMNAJISI MWANAFUNZI (HUHESO Digital Blog 15:29 0 JESHI la polisi mkoani Mtwara linamshikilia mwalimu wa shule ya msingi ya Mkalapa iliyopo Halmashauri ya Wilaya ya Masasi kwa tuhuma za kumn... Read more »
WAZIRI GWAJIMA ATOA ONYO WANAOTUMIA MITANDAO YA KIJAMII KUWEKA PICHA ZA KUDHALILISHA (HUHESO Digital Blog 19:45 0 Na WMJJWM, Dodoma Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima ametoa onyo kwa wote wanaotumia... Read more »
AKAMATWA KWA MAUAJI YA MPENZI WAKE-NJOMBE (HUHESO Digital Blog 14:22 0 Jeshi la polisi mkoani Njombe linamshikilia Samwel Nduluhundu (38) mkazi wa Mtaa wa Ramadhani Halmashauri ya mji wa Njombe kwa tuhuma za kuh... Read more »
AJIUA CHANZO DENI ANALODAIWA (HUHESO Digital Blog 13:47 0 Mwanaume wa miaka 40, mkazi wa Kijiji cha Manyata katika Kaunti ya Murang’a, anadaiwa kujitoa uhai kukwepa deni la Sh30, 000 (sawa na Sh520,... Read more »
BASI LA KAMPUNI YA AM SAFARI LAPATA AJALI MWENDAKULIMA-KAHAMA (HUHESO Digital Blog 15:24 0 Gari la abiria aina ya Scania Kampuni ya AM Safari linalofanya safari zake kutoka Kahama kuelekea Dodoma, limepata ajali eneo la Mizani mjin... Read more »
MAJANGIRI WANASWA WAMEUA SWALA WA MILIONI 38 (HUHESO Digital Blog 19:40 0 Jeshi la Polisi Mkoa wa Simiyu linawashikilia watu watatu kwa tuhuma za kuua swala 28 wanaokadiriwa kuwa na thamani ya Sh38 milioni katika... Read more »
WATU 10 WAFARIKI KWA AJALI KILIMANJARO (HUHESO Digital Blog 18:08 0 Watu 10 wamefariki dunia hii leo Agosti 18, 2023, katika ajali iliyohusisha gari dogo la mizigo (kirikuu) na gari la Polisi maeneo ya Dutch ... Read more »
AMUUA MKE NA SHEMEJI YAKE WAKIWA SHAMBANI (HUHESO Digital Blog 13:14 0 JESHÄ° la Polisi Mkoa wa Tanga limefanikiwa kumkamata Swalehe Miraji Ally, mwenye umri wa miaka 38 aliyekuwa kakimbilia mkoani Tabora baada y... Read more »