MAMA AFARIKI KWA UMEME AKIMUOKOA MWANAE (HUHESO Digital Blog 14:03 0 Kamanda wa Polisi Mkoa wa Shinyanga ACP Janeth Magomi Na Halima Khoya - Shinyanga Mwanamke aitwaye Leah Nchimika(23)Mkazi wa Maganzo Wilaya ... Read more »
WATUHUMIWA 9 WA UJAMBAZI WAKAMATWA SHINYANGA WAMO WEZI WA MAFUTA NA VIFAA VYA SGR (HUHESO Digital Blog 13:35 0 Kamanda wa Polisi Mkoa wa Shinyanga ACP Janeth Magomi akionesha bunduki iliyotumika katika tukio la ujambazi kambi ya Wachina wanaojenga mra... Read more »
AFIKISHWA MAHAKAMANI AKIWA NA KOBE 998, MAGAMBA 10 YA KOBE, MKIA WA NYATI ADAI ANAENDA KUTIBU WATU UKIMWI AMEOTESHWA (HUHESO Digital Blog 07:03 0 Mkazi wa Kijiji cha Nyarukoru, mkoani Mara, Matimba Washa (28), ameshtakiwa katika Mahakama ya Wilaya ya Butiama kwa makosa matatu likiwamo ... Read more »
WATU WANNE WATUPWA JELA MIAKA 120 KWA MAKOSA YA UBAKAJI, KAMANDA ARUSHA AELEZA (HUHESO Digital Blog 13:35 0 Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha limesema katika kukahakikisha linakomesha vitendo vya unyanyasaji wa kijinsia na Watoto limeendelea kushiriki... Read more »
WATU NANE WAFARIKI KWA KUPIGWA RISASI KWENYE SHEREHE YA BIRTHDAYPART USIKU (HUHESO Digital Blog 13:21 0 Watu wenye silaha wamewauwa wageni wanane baada ya kulifyatulia risasi kikundi cha watu waliokuwa wakisherehekea siku ya kuzaliwa katika mji... Read more »
WATOTO 18 WADAIWA KULAWITIWA KWA KUPEWA PIPI NA FEDHA-KILIMANJARO (HUHESO Digital Blog 13:50 0 Jeshi la Polisi mkoani Kilimanjaro linamshikilia mkazi wa kijiji cha Komela, wilayani Moshi mkoani hapa, Shukuru Nguma kwa tuhuma za kuwalaw... Read more »
JELA NA KULIPA FIDIA YA LAKI TANO KWA KUMBAKA DADA YAKE WA TUMBO MOJA (HUHESO Digital Blog 16:40 0 FRANK Kigomba (31) mkazi wa Kijiji cha Kising’a wilayani Kilolo, amehukumiwa kwenda jela miaka 30 na kulipa fidia ya Sh 500,000 kwa kosa la ... Read more »
MWALIMU WA SHULE YA MSINGI AKUTWA AMEKUFA NDANI KWAKE DAR ES SALAAM (HUHESO Digital Blog 13:33 0 MWALIMU Gephason Shita wa Shule ya Msingi Tuwapende Watoto, iliyopo Bunju B, Kata ya Mabwepande jijini Dar es Salaam, emekutwa amekufa chumb... Read more »
WIVU WA MAPENZI WASABABISHA KIFO CHA MWANAMKE ,SHINYANGA. (HUHESO Digital Blog 15:34 0 Joyce masanja (30-35) Mkazi wa Mtaa wa kalonga Manispaa ya Shinyanga anasadikiwa kuuawa kwa kukatwa na kitu chenye ncha kali na mtu asiyefah... Read more »
AMCHINJA MKE WAKE NA MWILI KUUTUPA MTONI JIJINI MBEYA KISA AKIMTUHUMU KUCHEPUKA NA JAMAA MWINGINE (HUHESO Digital Blog 18:43 0 Jeshi la Polisi mkoani Mbeya linamshikilia, Mapinduzi Siliya (45) kwa tuhuma za kumuua mkewe, Terezia Mtajiha. Siliya anadaiwa kumchinja kwa... Read more »
MWILI WA KICHANGA WAOKOTWA NA RAIA WEMA KWENYE BOMBA (HUHESO Digital Blog 13:52 0 Wakaazi wa eneo la Kawangware Nairobi nchini Kenya, wamebaini mwili wa mtoto mchanga uliotupwa kwenye bomba la maji taka. Mwili huo uligundu... Read more »
AJALI YAUA WATU WATATU TANGA KWA MALORI MAWILI KUGONGANA USO KWA USO (HUHESO Digital Blog 16:47 0 Watu watatu wamefariki usiku wa kuamkia leo Ijumaa baada ya lori lililokuwa limebeba gesi kugongana uso kwa uso na lori aina ya Fuso. Kwa mu... Read more »
KICHANGA CHA SIKU NNE CHATUPWA NA BABA MZAZI (HUHESO Digital Blog 10:09 0 Jeshi la Zimamoto na uokoaji mkoa wa Geita limefanikiwa kuokoa mwili wa kichanga cha siku nne kilichokuwa kimetupwa na baba mzazi wa kichang... Read more »
PAKA AWASHAMBULIA WATU WANNE GEITA, ANG'ANG'ANIA KWENYE SHAVU LA MTOTO (HUHESO Digital Blog 18:39 0 Joyce Japhet (5) mtoto mkazi wa kitongoji cha Kilimahewa kata ya Lulembela, wilayani Mbogwe mkoani Geita amenusurika kufa baada ya kushambul... Read more »
AKATWA MGUU NA MAMBA AKIOSHA KITOWEO CHA UTUMBO WA NGURUWE-NJOMBE (HUHESO Digital Blog 18:31 0 Paulo Mapunda (54) Mkazi wa Kijiji cha Kipingu Kata ya Ruhuhu Wilaya ya Ludewa Mkoani Njombe amenusurika kufa baada ya kushambuliwa na Mamba... Read more »
MWANAUME MMOJA AKUTWA AMEFARIKI CHUMBANI KWAKWE HUKU MZIKI UKILIA,SHINYANGA. (HUHESO Digital Blog 17:19 0 Mwanaume mmoja anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 32 Mkazi wa Kambarage Manispaa ya Shinyanga, Daud John amekutwa akiwa amefariki chumbani ... Read more »
APIGWA RISASI NA WATU WANAOSADIKIWA KUWA MAJAMBAZI,SHINYANGA (HUHESO Digital Blog 17:51 0 Mtu mmoja mwenye umri wa miaka 32,Mkazi wa Butengwa Maanispaa na Mkoa Shinyanga,Richald Nzumbe,Amefariki dunia baada ya kuvamiwa na majambaz... Read more »
MTOTO APIGWA RADI AKICHUNGA MBUZI NJOMBE (HUHESO Digital Blog 10:54 0 Calista Haule (15) mkazi wa kijiji cha Lifua kata ya Luilo wilayani Ludewa mkoani Njombe amefariki baada ya kupigwa na radi wakati akiwafung... Read more »
VIBAKA WAVAMIA MOCHWARI NA KUONDOKA NA MWILI. (HUHESO Digital Blog 14:10 0 Mhudumu wa mochwari katika Kaunti ya Nayandarua nchini Kenya alibaki kinywa wazi, mapema Alhamisi asubuhi baada ya watu wasiojulikana kuvunj... Read more »
JAMBAZI AUAWA WAKIJIBIZANA KWA RISASI NA POLISI KAGERA (HUHESO Digital Blog 14:03 0 JESHI la Polisi Mkoa wa Kagera limefanikiwa kuzuia tukio la ujambazi wa kutumia silaha lililokuwa linapangwa na majambazi watatu waliokuwa w... Read more »