WATU 12 WANASHIKILIWA NA POLISI KWA KUKUTWA NA NOTI BANDIA (HUHESO Digital Blog 10:44 0 Na Kadama Malunde – Malunde 1 blog Jeshi la Polisi linawashikilia watuhumiwa 12 na wengine limewafikisha mahakamani kutokana na makosa mbali... Read more »
MWALIMU MBARONI KWA KUMNAJISI MWANAFUNZI (HUHESO Digital Blog 15:29 0 JESHI la polisi mkoani Mtwara linamshikilia mwalimu wa shule ya msingi ya Mkalapa iliyopo Halmashauri ya Wilaya ya Masasi kwa tuhuma za kumn... Read more »
WAZIRI GWAJIMA ATOA ONYO WANAOTUMIA MITANDAO YA KIJAMII KUWEKA PICHA ZA KUDHALILISHA (HUHESO Digital Blog 19:45 0 Na WMJJWM, Dodoma Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima ametoa onyo kwa wote wanaotumia... Read more »
AKAMATWA KWA MAUAJI YA MPENZI WAKE-NJOMBE (HUHESO Digital Blog 14:22 0 Jeshi la polisi mkoani Njombe linamshikilia Samwel Nduluhundu (38) mkazi wa Mtaa wa Ramadhani Halmashauri ya mji wa Njombe kwa tuhuma za kuh... Read more »
AJIUA CHANZO DENI ANALODAIWA (HUHESO Digital Blog 13:47 0 Mwanaume wa miaka 40, mkazi wa Kijiji cha Manyata katika Kaunti ya Murang’a, anadaiwa kujitoa uhai kukwepa deni la Sh30, 000 (sawa na Sh520,... Read more »
BASI LA KAMPUNI YA AM SAFARI LAPATA AJALI MWENDAKULIMA-KAHAMA (HUHESO Digital Blog 15:24 0 Gari la abiria aina ya Scania Kampuni ya AM Safari linalofanya safari zake kutoka Kahama kuelekea Dodoma, limepata ajali eneo la Mizani mjin... Read more »
MAJANGIRI WANASWA WAMEUA SWALA WA MILIONI 38 (HUHESO Digital Blog 19:40 0 Jeshi la Polisi Mkoa wa Simiyu linawashikilia watu watatu kwa tuhuma za kuua swala 28 wanaokadiriwa kuwa na thamani ya Sh38 milioni katika... Read more »
WATU 10 WAFARIKI KWA AJALI KILIMANJARO (HUHESO Digital Blog 18:08 0 Watu 10 wamefariki dunia hii leo Agosti 18, 2023, katika ajali iliyohusisha gari dogo la mizigo (kirikuu) na gari la Polisi maeneo ya Dutch ... Read more »
AMUUA MKE NA SHEMEJI YAKE WAKIWA SHAMBANI (HUHESO Digital Blog 13:14 0 JESHİ la Polisi Mkoa wa Tanga limefanikiwa kumkamata Swalehe Miraji Ally, mwenye umri wa miaka 38 aliyekuwa kakimbilia mkoani Tabora baada y... Read more »
AFUNGWA JELA MIAKA 15, ALIMFANYIA UPASUAJI WA NGIRI MZEE WA MIAKA 78 KWA KUMPASUA TUMBO (HUHESO Digital Blog 20:05 0 Mahakama kuu kanda yaTabora imemuhukumu kutumikia kifungo cha miaka kumi na Tano jela AMOS MATHIAS mkazi wa Kijiji cha Nhungulu wilayani Nze... Read more »
MADEREVA WAWILI WADAKWA IRINGA WAKIBET (HUHESO Digital Blog 17:58 0 Madereva wawili wa mabasi ya Mikoani ambayo yalikuwa yanatoka Mbeya kwenda Dar es salaam ambayo ni New Force lenye namba za usajili T850 DHA... Read more »
ADAIWA KUUA WATOTO WA KAMBO KWA SUMU, KISA MUME KAWATELEKEZA (HUHESO Digital Blog 17:39 0 Mwanamke mmoja mkazi wa Kata ya Itobo wilayani Nzega anashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani Tabora kwa tuhuma za kuwanywesha sumu watoto waw... Read more »
AJINYONGA KWA KAMBA YA KATANI JUU MTI-TINDE SHINYANGA (HUHESO Digital Blog 18:29 0 Mwanaume aitwaye Muhangwa Swila (56) mkazi wa kitongoji cha Mwandu Kata ya Tinde wilaya ya Shinyanga Mkoa wa Shinyanga, amekutwa amejiua kwa... Read more »
WASIOJULIKANA WAMKATA MAMA MKONO HUKU WAKIMJERUHI MTOTO (HUHESO Digital Blog 12:15 0 Mkazi Kata ya Mkindi, wilayani Kilindi; mkoani Tanga, Tabu Mokiwa, amekatwa mkono huku mtoto wake akijeruhiwa kichwani, baada ya kudaiwa kuk... Read more »
WANNE WADAIWA KUBAKA KISHA KUKIMBILIA BWAWANI (HUHESO Digital Blog 15:43 0 Juhudi za kuwapata watu wanne wanaodaiwa kumbaka na kumjeruhi mama mmoja mkazi wa Manispaa ya Musoma zimegonga mwamba baada ya watu hao kuki... Read more »
ACHOMWA KISU TUMBONI KWA DENI LA TSHS 1,000 SERENGETI (HUHESO Digital Blog 21:21 0 Raphael Juma Matiko (25) mkazi wa Kitongoji cha Kivukoni Kijiji cha Merenga Wilaya ya Serengeti amenusurika kufa baada ya kuchomwa kisu tumb... Read more »
NDEGE MPYA YA MIZIGO AINA YA BOEING 767-300F YAZINDULIWA LEO NA RAIS SAMIA (HUHESO Digital Blog 20:06 0 Ndege mpya ya Mizigo aina ya Boeing 767-300F ya Shirika la Ndege la Tanzania ATCL ikiwasili na kumwagiwa maji watersalute mara baada ya ku... Read more »
MAGUNIA 482 YA BANGI YATEKETEZWA ARUSHA (HUHESO Digital Blog 11:50 0 Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na dawa za kulevya (DCEA) imefanikiwa kukamata gunia 482 za bangi iliyokuwa tayari kusafirishwa kwenye ... Read more »