WATAALAMU WAFICHUA SIRI YA MARAIS KUTEUA MAJAJI KUCHUNGUZA SKANDALI KUBWA NKUMBI 21:45 0 Uteuzi wa Majaji kuongoza tume za uchunguzi pindi nchi zinapokabiliwa na migogoro au matukio makubwa ya ukiukwaji wa haki za binadamu una ... Read more »
MICHAKATO MIWILI NDANI YA SERIKALI: HAKUNA KUGONGANA KATI YA TUME YA UCHUNGUZI NA MARIDHIANO YA KITAFA NKUMBI 21:42 0 Imebainika kuwa uwepo wa michakato miwili inayoweza kuendeshwa kwa wakati mmoja, yaani Tume ya Uchunguzi wa Kijinai na mchakato wa Maridhi... Read more »
UKWELI KUHUSU TUME ZA KIJAJI: NI USHAHIDI WA KIHISTORIA UNAOWASHAWISHI MARAIS KUCHUKUA HATUA KALI ZA KUBADILI MAMBO NKUMBI 21:40 0 Uundaji wa Tume za Kijaji nchini Tanzania umekuwa chombo muhimu na madhubuti cha kisheria kinachotumiwa na Wakuu wa Nchi pale kunapojitoke... Read more »
TAIFA KWANZA: RAIS SAMIA AWAAPISHA MAJAJI TISA WA MAHAKAMA YA RUFANI NA KUTAKA UZALENDO, HAKI NA UADILIFU NKUMBI 21:37 0 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, amewaapisha rasmi majaji tisa wa Mahakama Kuu waliopandishwa... Read more »
WAKURUGENZI WA HALMASHAURI ZA WILAYA YA KAHAMA WAAGIZWA KUSIMAMIA UKUSANYAJI WA MADENI YA MAJI KATIKA TAASISI ZA UMMA NKUMBI 18:54 0 Na Neema Nkumbi, Kahama Mkuu wa Wilaya ya Kahama, Frank Nkinda, amewaagiza wakurugenzi wa halmashauri zote wilayani humo kufuatilia na kusim... Read more »
RAIS SAMIA ATUMA SALAMU ZA RAMBIRAMBI KUFUATIA KIFO CHA MAMA WA HAYATI MAGUFULI NKUMBI 23:41 0 Read more »
JMAT SHINYANGA YAUNDA KAMATI 17 KUIMARISHA AMANI , MSHIKAMANO NA MARIDHIANO NKUMBI 21:00 0 Katika kuimarisha harakati za kuhubiri amani na mshikamano wa kijamii, Jumuiya ya Maridhiano na Amani Tanzania (JMAT) Mkoani Shinyanga imean... Read more »
TAHLISO YATAKA HEKIMA VIJANA KUSIMAMIA AMANI NKUMBI 20:42 0 Rais wa Jumuiya ya Wanafunzi wa Elimu ya Vyuo na Vyuo Vikuu nchini (TAHLISO), Geofrey Kiliba, amesema jumuiya hiyo haiungi mkono changamoto ... Read more »
REA YAANDIKA HISTORIA LUDEWA* NKUMBI 16:50 0 *📌Yawasha umeme ukanda wa Nyasa kitongoji cha Nkanda* *📌Yapongezwa kufikisha umeme kwenye mazingira magumu Njombe* *📌Bodi ya REA yasisi... Read more »
BENKI YA DUNIA YAVUTIWA NA KASI YA MAGEUZI YA TANZANIA, YAIPA MATUMAINI MAKUBWA DIRA YA 2050 NKUMBI 13:35 0 Tanzania imeendelea kuvutia taasisi kubwa za maendeleo duniani kutokana na kasi ya mageuzi ya kiuchumi, uwekezaji wa miundombinu pamoja na j... Read more »
WORLD BANK EXPRESSES STRONG CONFIDENCE IN TANZANIA’S ECONOMIC FUTURE UNDER PRESIDENT SAMIA NKUMBI 12:59 0 Tanzania continues to strengthen its position as one of Africa’s most promising economies, with the World Bank expressing growing confidence... Read more »
JESHI LA ZIMAMOTO NA UOKOAJI KAHAMA, LAENDELEA KUJIIMARISHA KUKABILIANA NA MAJANGA YA MOTO NA MAOKOZI NKUMBI 11:04 0 Askari wa kituo cha jeshi la zimamoto na uokoaji Kahama, wakifanya zoezi la maokozi kwa majeruhi wa ajali ya barabarani, katika kuimarisha u... Read more »
WAZIRI MKUU AHIMIZA MALEZI YA KIMAADILI NA USHIRIKIANO WA KIJAMII NKUMBI 14:44 0 WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema jamii inapaswa kurejea katika misingi ya malezi ya pamoja na uwajibikaji wa kijamii ili kujenga ki... Read more »
WAZIRI MKUU AVITAKA VYOMBO VYA ULINZI NA USALAMA KUWA MACHO DHIDI YA WAVUNJA AMANI NKUMBI 18:10 0 _▪️Aonya dhidi ya vitendo vya uchochezi, kujiteka na propaganda zinazolenga kuwagombanisha Watanzania_ _▪️Asema Serikali imejikita kusikil... Read more »
NAIBU WAZIRI AYOUB AWATAHADHARISHA VIJANA USAMBAZAJI TAARIFA POTOFU NKUMBI 18:05 0 Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Ayoub Mohammed Mahmoud, ametoa onyo kali kwa vijana nchini akisisitiza kuwa hawapaswi kabisa kutumia... Read more »
VIJANA LINDENI AMANI YA TANZANIA NKUMBI 13:20 0 Na. Vero Ignatus. Mwanadiplomasia na Mratibu wa Makongamano ya Vijana, Ndugu Omary Abdul Punzi, ametoa onyo kwa vijana nchini kuacha kufuata... Read more »
MBUNGE NGAYIWA AIPONGEZA SERIKALI KWA MIRADI YA BARABARA KAHAMA, AOMBA KUKAMILISHWA KWA BARABARA YA KAGONGWA–IGUSULE NKUMBI 23:49 0 MBUNGE NGAYIWA AIPONGEZA SERIKALI KWA MIRADI YA BARABARA KAHAMA, AOMBA KUKAMILISHWA KWA BARABARA YA KAGONGWA–IGUSULE Na Neema Nkumbi Mbunge ... Read more »
SERIKALI YALISHAURI BARAZA LA VYAMA VYA SIASA KUIMARISHA MAHUSIANO NA JAMII KULINDA AMANI NKUMBI 14:59 0 .Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Ajira na Mahusiano, Zuhura Yunus amelishauri Baraza la Vyama vya Siasa kuwa daraja la kuimari... Read more »
MARIDHIANO: NJIA YA KUSONGA MBELE PAMOJA KAMA TAIFA NKUMBI 14:48 0 Mwalimu Nyerere alisema Tanzania inajengwa juu ya amani, majadiliano, na heshima kwa binadamu. Maridhiano ndiyo njia ya kulinda msingi huo. Read more »
MATUMAINI MAKUBWA YATAWALA KUWA TUME YA MAJAJI WASTAAFU ITATENDA HAKI BILA UPENDELEO NKUMBI 19:46 0 Katibu Mkuu wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), Salum Mwalimu *** Read more »