MJUMBE WA JUMUIA YA MADOLA RAIS MSTAAFU CHAKWERA AKUTANA NA INEC - HUHESO DIGITAL BLOG

Breaking

Post Top Ad

Tuesday, 14 April 2026

MJUMBE WA JUMUIA YA MADOLA RAIS MSTAAFU CHAKWERA AKUTANA NA INEC


Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) ikiongozwa na Mwenyekiti wa Tume, Mhe. Jaji wa Rufani Jacobs Mwambegele leo Aprili 14, 2026 amekutana na kuzungumza na mjumbe maalum Jumuiya ya Madola (Commonwealth) Rais wa zamani wa Malawi Mhe.Lazarus McCarthy Chakwera ambaye alitembelea ofisi za Tume Njedengwa jijini Dodoma. Ziara hiyo maalum ya mjumbe huyo wa Jumuia ya Madola ililenga kuangalia namna Uchaguzi Mkuu wa 2025 ulivyofanyika. (Picha na INEC).








No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Pages

Huheso