UZAA NA VIJIDUDU VILINITOKA, NILIKUWA NIMERAMBA ASALI YA RAFIKI YANGU - HUHESO DIGITAL BLOG

Breaking

Post Top Ad

Sunday 17 July 2022

UZAA NA VIJIDUDU VILINITOKA, NILIKUWA NIMERAMBA ASALI YA RAFIKI YANGU




Niliishi katika kaunti ya Marsabit karibu na jirani yangu Kim ambaye alikuwa pia ni rafiki wangu wa dhati kwani alinisaidia mambo mengi maishani. 


Urafiki ule ulikuwa wenye kutamaniwa na wengi kwani hata watu wengi walisema kuwa tulikua mashoga lakini hio ilikuwa ni propaganda isiyo na msingi wowote. 


Siku ziliposonga, Kim alifanikiwa kupata jiko na hapo ikawa urafiki wangu na wake ukaanza kudidimia kwa kuwa wakati mwingi alitumia kukaa na mke wake. 


Hatungepata tena wakati wa kuenda kutrazama mechi, kulewa vilabuni na kadhalika. Kwa wakati ule wote sikuwa nimefanikiwa kuoa kwani nilidhani kwamba wakati wangu murwa hukuwa umefika. 


Kwa mara nyingi nilitembelea nyumba yao tukapiga gumzo na hata kushirika vyakula kwa pamoja. Kwa vile Kim alikuwa akifanya kazi ya bawabu wa usiku ilikuwa ni fursa muhimu kwangu kupata mpenyo hadi nyumbani mwake kupiga gumzo na mke wake kwa wakati wowote.


Nilifanya mazoea ya kuingia kwenye nyumba ya Kim kila wakati alipokuwa katika shuguli za kazi usiku. Mke wake alikuwa mrembo ajabu mtoto wa kidigo alyeumbwa akaumbika na hapo damu ilinichemka. 


Mara nyingi tulizungumza hadi usiku wa manane lakini hakuna kitu kama uhusiano kili nukia kwa ajili ya woga Fulani. Baada ya wiki hivi mazungumzo yetu yalianza kubadilika kwani tulianza kuzungumzia mambo ya mapenzi. 


Dada yule alinielezea bayana kwamba hakufurahia kazi ya mume wake ya bawabu wa usiku kwani hali ile ilimwacha akisononeka na mwenye upweke. Alisema kuwa alitamani mume wake aiache kazi ile lakini hakuwa na budi kwa kuwa pato lao lilitoka kwenye kazi ile. 


Nilifahamu fika kwamba alikuwa akizungumzia swala zima la lungula na hapo nilijiambia akilini kuwa ni mimi pekee nilikuwa shujaa wa kumwondolea upweke wake wakati wa usiku. Mapenzi yetu nan a mke wa Kim yalinoga kwani hata tuliaanza kushiriki uroda. 


Nilirauka asubuhi na mapema kabla mume wake hajaingia ili kuepuka magombano au vita kwani nilikuwa nakula tunda la wenyewe.


Nilifanya kitendo hiki kwa muda wa wiki tatu hivi. Kim hakugundua lolote wala hakuuliza mke wake chochote nah ii ilinipa fursa ya kujiita kinara katika shughuli nzima hii ya kutafuna mke wake. 


Nilifahamu kwamba Kim hangegundua chochote. Baada ya siku na majuma kadhaa mambo yalianza kuenda mrama. Uzaa ulinitoka kwenye sehemu yangu ya siri huku ukiandamana na vijidudu vidogo mithili ya funza. 


Niligutshwa na mambo haya kwani hata sehemu zile zilikuwa kubwa ajabu hata kuvaa sruali ndefu ilikuwa ni mapigano kwa ajili ya uchungu. Nilijiambia moyoni kwamba Kim alikuwa ametembelea mahali ili kukinga mke wake kutokana na anasa.


Hili lilikuwa ni kweli baada ya Joseph rafikiye Kim kuniambia kwamba Kim alikuwa amemfunga mke wake kushiriki mapenzi na mume mwingine na kwamba daktari aliyefanikisha swala hili lote alijiita Kiwanga. 


Niliposikia yale maneno machozi yalinitiririka kwa mpigo. Nilimwelezea Joseph anielekeze kwa daktari Kiwanga ili nirejeshe mabo kuwa kawaida. 


Nilipofika kwa afisi za daktari Kiwanga alisema kuwa mtu aliyekuwa na uwezo wa kutatua shida yangu ni mume wa mke niliyeshiriki mapenzi naye na iwapo tu ningemwomba msamaha basi mambo yangu yangekuwa shwari. 


Nilifunga safari na kurejea kwangu na hapo siku iliyofuatia nilipiga moyo konde na kumtafuta Kim ili nimwombe msamaha. Alikubali kuzika mambo hayo kwenye kaburi la sahau na hali ikarejea shwari. Tangu siku ile mimi huona wake wa watu kama sumu.


Dakari Kiwanga ana uwezo wa kutatua migogoro ya mashamba, kumaliza swala zima la wizi na mengineyo. Anatibu magonjwa kama vile kifua kikuu, kifaduro, msukumo wa damu na mengineyo kwa siku tatu tuu. Kwa mengi zaidi wasiliana naye kwa kutumia wavuti www.kiwangadoctors.com au kupitia barua pepe kiwangadoctors@gmail.com ama pia unaweza kupiga simu kwa nambari hii +254 769404965 kupata usaidizi.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Pages

Huheso