Post Top Ad
Tuesday, 2 June 2026
Monday, 1 June 2026
WANAFUNZI WALIOPANGIWA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI, 2026
Ofisi ya Rais – TAMISEMI imetangaza rasmi uchaguzi wa wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na Kidato cha Tano pamoja na Vyuo vya Elimu na Ma...
ISMANI WAJITOKEZA KWA WINGI KUMCHAGUA MRITHI WA LUKUVI
Wananchi wa Kijiji cha Mkungugu jimbo la Ismani katika Halmashauri ya Wilaya ya Iringa mkoani Iringa wakiwa katika foleni ya kupiga kura y...
ONDOKENI KWENYE CHUKI ZA KISIASA MSIWE MBUZI WA KAFARA VIJANA WAONYWA
Vijana nchini wameonywa kutokubali kugeuzwa mbuzi wa kafara kwa kufuata matamko ya uchochezi na chuki yanayosambazwa kwenye mitandao ya kija...
AMANI KWANZA: WANANCHI WA SHINYANGA WAWASIHI VIJANA KULINDA UTANGAMANO WA TAIFA
Wakazi wa Kata ya Solwa katika Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga wametoa wito mzito kwa vijana kuwa mstari wa mbele kulinda na kudumisha am...
BILA AMANI HAKUNA MAENDELEO: KULINDA UTULIVU NDIO SILAHA YA TANZANIA KUFIKIA UCHUMI WA TRILIONI MOJA
Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa Serikali imesisitiza kwa dhati kuwa amani na utulivu wa nchi ndio msingi mkuu na nguzo muhimu itaka...
Sunday, 31 May 2026
KILIMANJARO MFANO WA MISINGI YA AMANI ILIYOWEKWA NA WATANGULIZI
Tathmini ya kina ya siasa na mwelekeo wa sasa wa taifa inalazimu Watanzania kutazama nyuma kwa umakini ili kujifunza na kutokubali kurudish...
UNODC YAPONGEZA TANZANIA KWA KULINDA AMANI YANOA POLISI KUKABILIANA NA UHALIFU
Tanzania imepongezwa kwa kuendelea kuwa miongoni mwa nchi zenye usalama, amani na utulivu katika Bara la Afrika licha ya kuwepo kwa changam...
MTIKISIKO WA AMANI YA KITAIFA HUANZIA AKILINI: UCHAMBUZI WA DK BENJAMIN NA RIPOTI YA JAJI CHANDE
Mawazo hasi, hofu, chuki, na hasira vimetajwa kuwa miongoni mwa vichocheo vikuu vinavyoharibu amani ya ndani ya binadamu na kuchochea migogo...
WAPIGA KURA 222,218 KUPIGA KURA JIMBO LA ISMANI NA KATA 12 ZA TANZANIA BARA
Na Mwandishi wetu, Iringa Wapiga Kura 222,218 walioandikishwa katika Daftari la Kudumu la Wapiga Kura watashiriki kwenye uchaguzi mdogo wa U...
MRADI WA C-SDTP KUWA CHACHU YA MAGEUZI YA TASNIA YA MAZIWA TANZANIA
Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Balozi Dkt. Bashiru Ally Kakurwa ( wa nne kulia) akipata maelezo kutoka kwa Mratibu wa Taifa wa Mradi wa Mag...
Saturday, 30 May 2026
MRADI WA C- SDTP WALETA HAMASA YA UZALISHAJI MAZIWA UNAOZINGATIA MABADILIKO YA TABIANCHI
Sehemu ya Wafanyakazi wa Mradi wa C-SDTP wakiwa kwenye banda la maonesho wakati wa Wiki ya Maziwa Kitaifa Mkoani Iringa.
NIACHEKONA CUP 2026 INAVYOCHOCHEA BIASHARA, AMANI NA KUSAMBAZA UPENDO
Mashindano ya michezo ngazi ya jamii yameendelea kuthibitika kuwa chombo chenye nguvu kubwa si tu katika kuibua vipaji vya vijana, bali pia ...
AMANI NDIO MSINGI WA UBUNIFU WA VIJANA KATIKA KUFIKIA DIRA YA UCHUMI SHINDANI WA VIWANDA NA BIASHARA IFIKAPO 2050
Ukuaji wa biashara, ujasiriamali, na mnyororo wa thamani wa viwanda nchini unategemea kwa kiasi kikubwa uwepo wa mazingira tulivu yanayomwez...
Post Top Ad
Author Details
Ut wisi enim ad minim veniam, quis nostrud exerci tation ullamcorper suscipit lobortis nisl ut aliquip ex ea commodo consequat. Duis autem vel eum iriure dolor in hendrerit in vulputate velit esse molestie consequat.