MELI VITA YA KICHINA YA MATIBABU YAHUDUMIA WATU ZAIDI YA 5,000 NKUMBI 16:02 0 Na WAF - Dar Es Salaam Melivita ya matibabu iitwayo 'Peace Ark' ya Jeshi la Ukombozi la watu wa China imetoa matibabu kwa wagonjwa z... Read more »
WANANCHI WA NAMICHINGA WAISHKURU SERIKALI KWA KUJENGEWA KITUO CHA AFYA NKUMBI 14:27 0 Wananchi wa Kata ya Namichinga Halmashauri ya wilaya ya Ruangwa mkoa wa Lindi wameishukru serikali ya awamu ya sita chini ya uongozi wa Mhe.... Read more »
AMREF TANZANIA YATAMBULISHA MRADI WA AFYA THABITI KUPITIA MKUTANO NA OFISI YA TAMISEMI IDARA YA AFYA, USTAWI WA JAMII NA LISHE NKUMBI 11:58 0 Mkurugenzi wa Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe Ofisi ya Rais TAMISEMI, Dkt. Rashid Mfaume, akifungua mkutano wakati wa Utambulisho wa Mradi wa ... Read more »
SERIKALI KUONGEZA VITUO 4 VINAVYOTOA HUDUMA ZA MIONZI KWA WAGONJWA WA SARATANI (HUHESO Digital Blog 11:27 0 Serikali kupitia Wizara ya Afya inaendelea na taratibu za uwekezaji kwa kuongeza vituo vingine 4 kwa kujenga majengo na kuviwezesha vifaa vi... Read more »
TANZANIA YAPOKEA SHILI BILIONI 45 KUBORESHA UZAZI WA MPANGO (HUHESO Digital Blog 11:15 0 Serikali ya Uingereza imeendelea kuimarisha ushirikiano wake na Tanzania kwa kutoa Bilioni 45 kusaidia kufanikisha huduma za uzazi wa mpango... Read more »
Mapambano ya malaria yako karibu na moyo wangu (HUHESO Digital Blog 11:17 0 RAIS Mstaafu wa Awamu ya nne, Dk Jakaya Mrisho Kikwete amesema suala la kupambana na malaria ni jambo ambalo liko karibu na moyo wake. Aidha... Read more »
Dk Biteko aagiza miundombinu vituo vya afya itunzwe (HUHESO Digital Blog 11:45 0 NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk Doto Biteko ameagiza kuweka Mpango Mkakati wa kuhakikisha uwekezaji wa miundombinu uliofanywa na ... Read more »
WADAU WA MSD WAHIMIZWA MATUMIZI SAHIHI YA TAKWIMU ZA UGAVI WA BIDHAA ZA AFYA (HUHESO Digital Blog 17:00 0 Wadau wa afya wa Bohari ya Dawa,MSD Mtwara wamehimizwa kusimamia matumizi sahihi ya takwimu za mnyororo wa ugavi wa bidhaa za afya, ili zi... Read more »
MAAMBUKIZI YA MALARIA YAMEPUNGUA ASILIMIA 8.1 (HUHESO Digital Blog 15:48 0 Katibu Mkuu Wizara ya Afya Dkt. John Jingu amesema kiwango cha maambukizi ya ugonjwa wa Malaria nchini kimepungua na kufikia asilimia 8.1 kw... Read more »
KAGONGWA WAKABIDHIWA GARI LA WAGONJWA NA MBUNGE KISHIMBA, AOMBA TIBA KWA WANANCHI ITOLEWE BURE KAMA ELIMU YA MSINGI NA SEKONDARI (HUHESO Digital Blog 11:24 0 Kituo cha afya Kagongwa kinachohudumia wananchi takribani 60,000 wa Kata za Kagongwa, Mondo na Isagehe kwa mujibu wa sensa ya watu na makazi... Read more »
ZINGATIENI MTINDO BORA WA MAISHA ILI KULINDA FIGO ZENU (HUHESO Digital Blog 13:38 0 Wakati Tanzania inaungana na mataifa mengine ulimwenguni kuadhimisha Siku ya Figo Duniani leo, Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Benjamin ... Read more »
WATOTO MILION 11KUPATIWA MATONE YA VITAMINI A JUNI 2024 (HUHESO Digital Blog 12:54 0 Serikali kupitia Wizara afya imepokea vidonge vya matone ya Vitamini A milioni 22 kutoka kwa shirika la Nutritrion International kwa ajili y... Read more »
UMMY MWALIMU AMEPIGA MARUFUKU KWA VITUO BINAFSI KUWAONDOA WODINI WAGONJWA AMBAO NI WANACHAMA WA NHIF (HUHESO Digital Blog 22:22 0 Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu amepiga marufuku kwa Vituo Binafsi kuwaondoa wodini wagonjwa ambao ni wanachama wa NHIF mara baada ya saa 4... Read more »
ATOLEWA SKRUBU (SCREW) KWENYE MAPAFU (HUHESO Digital Blog 14:55 0 Mtoto mwingine ametolewa Skrubu (Screw) kwenye mapafu yake kwa kutumia kifaa chenye kamera na kwenda kuinasa na kisha kuitoa ambayo alikua a... Read more »
WATU WATANO WAFARIKI KAGONGWA NA 18 WABAINIKA KUWA NA KIPINDUPINDU SHINYANGA (HUHESO Digital Blog 16:06 0 Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Mndeme amesema jumla ya wagonjwa 18 kati ya wagonjwa 41 wameathirika na vimelea vya kuhara na kutap... Read more »
WANANCHI WASHAURIWA KUJENGA UTAMADUNI WA KUPIMA AFYA ZAO KABLA YA KUINGIA KWENYE NDOA, KUEPUKA KUZAA WATOTO WENYE UGONJWA WA SELI MUNDU (HUHESO Digital Blog 16:35 0 UGONJWA wa selimundu (Sickle Cell Desease) kwa watoto wachanga, unaweza kupunguzwa au kukatwa mnyororo wa thamani endapo wanaotarajiwa kuing... Read more »
SHEHENA YA VYUMA CHAKAVU,TAKA HATARISHI MARUFUKU KUINGIZWA NCHINI BILA KIBALI CHA MAZINGIRA (HUHESO Digital Blog 17:01 0 Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt. Selemani Jafo,akitoa taarifa kwa waandishi wa habari leo Septemba ... Read more »
MOI YAPOKEA VIFAA TIBA VYENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 3 KUTOKA UINGEREZA (HUHESO Digital Blog 16:56 0 Na Mwandishi Wetu – MOI Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya Dkt. John Jingu kwa niaba ya Waziri wa Wizara hiyo Mhe. Ummy Mwalimu amepokea msaada w... Read more »