Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan alivyowasili katika Viwanja vya Bunge na kukagua gwaride maalum laheshima kabla ya kuingia katika ukumbi wa Bunge kwa ajili ya kuhutubia na kufunga Bunge la 12 leo tarehe 27 Juni, 2025.

No comments:
Post a Comment