RAIS DKT. SAMIA AWAHUTUBIA NA KUFUNGA BUNGE LA 12 BAADA YA KUKAGUA GWARIDE LA HESHIMA - HUHESO DIGITAL BLOG

Breaking

Post Top Ad

Friday, 27 June 2025

RAIS DKT. SAMIA AWAHUTUBIA NA KUFUNGA BUNGE LA 12 BAADA YA KUKAGUA GWARIDE LA HESHIMA

Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan alivyowasili katika Viwanja vya Bunge na kukagua gwaride maalum laheshima kabla ya kuingia katika ukumbi wa Bunge kwa ajili ya kuhutubia na kufunga Bunge la 12 leo tarehe 27 Juni, 2025.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Pages

Huheso