DKT. YONAZI AIPONGEZA TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI KWA KUKAMILISHA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA NA MAANDALIZI YA UCHAGUZI MKUU 2025 - HUHESO DIGITAL BLOG

Breaking

Post Top Ad

Monday, 9 June 2025

DKT. YONAZI AIPONGEZA TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI KWA KUKAMILISHA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA NA MAANDALIZI YA UCHAGUZI MKUU 2025


Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu), Dkt. Jim Yonaz akizungumza wakati wa ufunguzi wa kikao cha Baraza la Wafanyakazi la Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi kilichokutana Mjini Unguja Zanzibar leo Juni 9,2025.
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi ambaye pia ni Mwenyekiti wa Baraza la Wafanyakazi la Tume akizungumza mapema kabla ya ufunguzi wa kikao hicho.





Wajumbe wa Baraza hilo wakifuatilia mada katika Mkutano huo.
Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu), Dkt. Jim Yonaz (kulia) akizungumza jambo na Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi ambaye pia ni Mwenyekiti wa Baraza la Wafanyakazi la Tume, Ramadhani Kailima, wakati Katibu Mkuu huyo alipofika kufungua Kikao cha Baraza la Wafanyakazi la Tume Mjini Unguja, Zanzibar leo Juni 9,2025.

Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu), Dkt. Jim Yonaz (kushoto) na Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi ambaye pia ni Mwenyekiti wa Baraza la Wafanyakazi la Tume, Ramadhani Kailima, pamoja na wajumbe wa baraza la Wafanyakazi la Tume wakiimba wimbo wa wafanyakazi wakati kabla ya kuanza kikao cha Baraza la Wafanyakazi Mjini Unguja, Zanzibar leo Juni 9,2025.


Na. Mwandishi Wetu, Zanzibar


.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Pages

Huheso