DKT. NCHIMBI AKIFUATILIA BAJETI KUU YA SERIKALI - HUHESO DIGITAL BLOG

Breaking

Post Top Ad

Thursday, 12 June 2025

DKT. NCHIMBI AKIFUATILIA BAJETI KUU YA SERIKALI


Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, akifuatilia Hotuba ya Mapendekezo ya Serikali kuhusu Bajeti Kuu ya Mwaka wa Fedha 2025/2026 akiwa ofisini kwake, katika Ofisi za Makao Makuu ya CCM jijini Dodoma, leo Alhamisi, tarehe 12 Juni 2025. Pamoja naye ni maofisa waandamizi wa CCM Makao Makuu.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Pages

Huheso