YANGA YAKUBALI KUMUACHIA FEISAL SALUM - HUHESO DIGITAL BLOG

Breaking

Post Top Ad

Thursday 8 June 2023

YANGA YAKUBALI KUMUACHIA FEISAL SALUM

Baada ya mvutano wa mgogoro wa Kimkataba wa muda mrefu kati ya Yanga SC na Feisal Salum hatimae leo suala hilo limefikia tamati.


Yanga SC wametoa taarifa ya kuwa wamepokea ofa kutoka Azam FC na kuamua kumuuza mchezaji huyo kwenda Azam FC baada ya makubaliano ya pande zote mbili.

Feisal anaenda Azam FC kwa ada ya uhamisho ambayo ni siri, ikumbukwe kuwa Feisal yuko nje ya uwanja toka 24/12/2022 alipoandika barua ya kuomba kuvunja mkataba na Yanga.

Chanzo:Millardayo

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Pages

Huheso