WAUMINI WAKWAZWA: "Lugha ya Kebehi Madhabahuni Inahatarisha Amani na Umoja wa Watanzania NKUMBI 08:32 0 Wakati Tanzania ikiwa imevuka salama tarehe 25 Desemba huku kukiwa na utulivu wa kupigiwa mfano, kumeibuka mjadala mzito kufuatia kauli ya A... Read more »
TANZANIA IMESIMAMA: Dunia Yaduwaa, Maadui Wafedheheka na Amani ya Watanzania! NKUMBI 08:25 0 Tarehe 25 Desemba, 2025, itabaki kwenye kumbukumbu za kihistoria kama siku ambayo Watanzania walionyesha ukomavu wa hali ya juu na kuiziba m... Read more »
AMANI YETU NI NGUZO YETU: Watanzania Walipuka Mtandaoni, Walaani Vikali Kauli za Uchochezi na Harakati za Maadui wa Taifa NKUMBI 08:17 0 Wimbi kubwa la hasira na uzalendo limeendelea kutawala katika mitandao ya kijamii, hususan Instagram, ambapo maelfu ya wananchi wameibuka ku... Read more »
HAWA MAJIRANI ZETU MCHECHETO 'UTAWAUA' WAMEKOMALIA KUSAMBAZA UONGO NKUMBI 08:35 0 Ni dhahiri kuwa kuna mkakati wa makusudi wa kusambaza taarifa za upotoshaji kuhusu utendaji wa Bandari ya Dar es Salaam, lakini uchambuzi wa... Read more »
DEMOKRASIA KAMA SILAHA ZA MAGHARIBI; Waafrika wanapaswa kuelewa kuwa amani ndiyo msingi wa haki zote NKUMBI 08:31 0 Kwa miongo kadhaa, neno "Demokrasia" limekuwa likitumika na mataifa ya Magharibi si kama mfumo wa utawala pekee, bali kama silaha ... Read more »
AMANI YASABABISHA MAJI YA BAHARI YA DAR KUWA MATAMU NKUMBI 08:06 0 Amani yasababisha maji ya bahari ya Dar kuwa matamu Hali ya amani na utulivu iliyoshuhudiwa jijini Dar es Salaam katika kipindi hiki cha sik... Read more »
AMANI KWANZA, HAKI BAADAYE: KWANINI BUSARA ZA SHEIKH KIPOZEO NI FUNZO KWA TAIFA NKUMBI 07:56 0 Wakati dunia ikishuhudia mataifa kadhaa yakisambaratika kutokana na unyakuzi wa madaraka na machafuko ya kijamii, Tanzania imezidi kung’ara ... Read more »
MAPINDUZI YA TEHAMA: TUZO YA TFRA NI ALFAJIRI MPYA YA KILIMO CHA KIDIJITI BARANI AFRIKA NKUMBI 22:06 0 Tuzo ya TFRA ni Alfajiri Mpya ya Kilimo cha Kidijiti Barani Afrika Ushindi wa Mamlaka ya Udhibiti wa Mbolea Tanzania (TFRA) nchini Eswatini ... Read more »
VIJANA WALINZI WA AMANI: NGAO IMARA DHIDI YA HUJUMA ZA UTALII WA TANZANIA NKUMBI 21:48 0 Ngao Imara Dhidi ya Hujuma za Utalii wa Tanzania Katika nyakati hizi ambapo ushindani wa kitalii barani Afrika umehamia kwenye medani za kid... Read more »
AMANI NDIO MSINGI: WANANCHI WAHIMIZA UTULIVU, SERIKALI YAMWAGA MIKOPO YA AJIRA KWA VIJANA NKUMBI 21:26 0 Wananchi Wahimiza Utulivu, Serikali Yamwaga Mikopo ya Ajira kwa Vijana WAKATI Watanzania wakisherehekea msimu wa sikukuu za Krismasi na Mwak... Read more »
VITA YA UTALII: TANZANIA YAPIGA PIGO LA TAKWIMU, YAFICHUA PROPAGANDA NA CHUKI ZA WASHINDANI NKUMBI 21:23 0 Wakati mataifa jirani yakitapatapa kurejea katika hali ya kawaida ya kitalii huku yakikumbwa na migogoro ya kisiasa na mdororo wa kiuchumi, ... Read more »
DC MWANZIVA ATEMBLEA VIJIWE VYA VIJANA LINDI NKUMBI 21:17 0 Katika kile kinachoonekana ni mkakati wa Serikali kusogea karibu na wananchi na kuzima chokochoko za uvunjifu wa amani, Mkuu wa Wilaya ya Li... Read more »