AJALI YAUA WATATU, YAJERUHI MMOJA SINGIDA - HUHESO DIGITAL BLOG

Breaking

Post Top Ad

Tuesday 29 November 2022

AJALI YAUA WATATU, YAJERUHI MMOJA SINGIDA

Watu watatu wamefariki dunia baada ya kupata ajali katika Kijiji cha Kitopeni Halmashauri ya Itigi wilayani Manyoni mkoani Singida, huku mmoja akipatiwa matibabu katika hospitali ya rufaa ya Mtakatifu Gaspar Itigi.


RPC Singida Stella Mutabihirwa, amesema ajali hiyo imetokea usiku wa kuamkia Novemba 27, 2022 na ilihusisha lori na gari ndogo aina ya Mazda.

"Ajali hiyo ilisababisha vifo vya watu wawili papo hapo, na mmoja alifariki wakati anapatiwa matibabu, chanzo cha ajali ni uzembe wa dereva wa lori ambaye alihama kabisa upande wak na kulifuata gari dogo na kusababisha ajali hiyo," amesema ACP Mutabihirwa

CHANZO:LANGO LA HABARI

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Pages

Huheso